capo: 1st fret
[verse]
G F G
Aah mmmh mmmh
F G
Ah unaringa umepima? aii utajiju
F
Huu mwaka utachina
G
Si ulileta unyang’au
F
Ukaukwi kunitishia
G
Unaondoka unaondoka
F
Kama daladala za kariakoo
G
Inatoka inatoka
F
Hadharani unanisusia
G
Kuropoka ropoka
F
Ama domo lako shimo la choo
G
Yanakutoka
F
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
G
Maana nishapata pa kuegemea
F
Mmmh napendwa
G
Na sio kwa ninavyojidekea
F
Hulka yako ya pupa
G
Mwenzako ananinyenyekea
F
Oooh kutendwa
G
Nakusikia kwenye bomba
F
Na tena naenjoy
[chorus]
G
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
F G
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
F G
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
F G
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
[interlude]
F G F G
[verse]
F
Napenda akinipa
G
Akinipa migandisho
F
Kama anapigwa shoti
G
Akisakata migandisho
F
Na kama mapenzi
G
Roho yake bahari huu muda naelea
F
Maana nishazamaga
G
Nishakufa mzoga
F
Na kama penzi melody kali
G
Mi kwake ndo burudani
F
Wala sidhani ka
G
Ataridhika kunikosa
F
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
G
Maana nishapata pa kuegemea
F
Mmmh napendwa
G
Na sio kwa ninavyojidekea
F
Hulka yako ya pupa
G
Mwenzako ananinyenyekea
F
Oooh kutendwa
G
Nakusikia kwenye bomba
F
Na tena naenjoy
[chorus]
G
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
F G
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
F G
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
F G
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
Leave the comments